

Lugha Nyingine
1995年成都出现僵尸事件,揭开那些鲜为人知的隐秘
(CRI Online) Septemba 05, 2024
百度 ▲3月14日,武汉大学发布《武汉大学关于加强2018年樱花开放期间校园管理的通告》。
Rais wa Comoro Bw. Azali Assoumani amesema, katika ushirikiano na nchi za Afrika, China siku zote imekuwa ikifuata kanuni za kutendeana kwa usawa na kushirikiana kwa mafanikio bila kujali ukubwa wa nchi, jambo ambalo limeweka msingi wa ushirikiano kati ya nchi za 'Dunia ya Kusini' na kuwezesha kujenga dunia ya haki ambayo maslahi ya pande zote yanalindwa.
Rais Azali amesema, katika miongo kadhaa iliyopita, China daima imefuata kanuni ya kutoingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine, na imejenga ushirikiano wenye manufaa na nchi za Afrika katika nyanja nyingi ikiwemo siasa, jamii, uchumi na maisha ya watu.
Rais Azali ameeleza matumani ya kujenga jumuiya ya ngazi ya juu ya Afrika na China yenye hatma ya pamoja katika siku zijazo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma