

Lugha Nyingine
一季度重庆市民航旅客吞吐量985.4万人次 同比增10.9%
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 20, 2024
百度 因为我们明白,网友需要的不仅仅是简单的信息,还有对信息的梳理和整合,需要的是深阅读。
Asubuhi ya Tarehe 19, Novemba kwa saa za huko, Rais Xi Jinping wa China amewasili Brasilia kwa ziara ya kiserikali nchini Brazil.
Baada ya kuwasili uwanja wa ndege alilakiwa na Rui Costa, mkurugenzi wa ofisi ya Ikulu ya rais pamoja na maofisa wengine waandamizi wa Brazil, ambapo wasanii wanawake wa Bendi ya Batala walipiga muziki wa ngoma ulio wa furaha na uchangamfu kwa kumkaribisha.
Kabla ya kuwasili Brasilia, rais Xi alikuwa Rio de Janeiro, Brazil, kuhudhuria Mkutano wa 19 wa Viongozi wa kundi la G20.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma